| Baada ya uhamasishaji |
| Wananchi wakijiandikisha kujiunga na CHF baada ya kuridhishwa na huduma zake |
| Uhamasishaji ukiendelea, katikati ni Mheshimiwa Diwani Bwana Kuga baada ya kuchangia kaya sita |
| Wananchi wakifuatilia kwa makini zoezi la kujiunga na CHF |
| Mzee akichangia mada na kuonesha mfano wa kuwa wa kwanza kujiunga baada ya kuhamasishwa |
| Wazee hawakuwa nyuma kueleza manufaa ya CHF |
| Waeleze wananchi wanavyoweza kupata huduma za matibabu |
| Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NHIF naye hakuwa nyuma katika uhamasishaji |
| Kaimu Mkurugenzi wa Mfuko wa Afya ya Jamii Rehani Athumani akieleza umuhimu wa CHF |
No comments:
Post a Comment