Thursday, July 19, 2012
Wednesday, July 18, 2012
Wabunge walivyopata mafunzo NHIF
| Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Emanuel Humba akitoa maelezo ya utangulizi kwa waheshimiwa wabunge |
| Wakisikiliza kwa makini namna utunzaji wa kumbukumbu unavyofanywa |
| Waziri, Naibu Waziri na Mkurugenzi Mkuu NHIF wakifurahia jambo baada ya mkutano |
| Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NHIF, Deogratius Ntunkamazina akitoa salam za bodi |
| Naibu Waziri TAMISEMI, Kassim Majaliwa akitoa salam za Wizara katika mafunzo hayo |
| Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dr Seif Rashid akitoa neno kwa washiriki wa mafunzo. |
| Meneja wa NHIF Kanda ya Kati, Daud Bunyinyiga akijitambulisha kwa waheshimiwa wabunge |
| Waheshimiwa wabunge na baadhi ya maofisa wa NHIF wakifuatilia mada mbalimbali |
| Mheshimiwa Martha Mlata akitoa neno la shukurani baada ya mafunzo |
| Waheshimiwa wabunge wakipewa maelezo ya namna ya utunzaji wa kumbukumbu za wanachama katika kituo cha kisasa cha kuhifadhia. |
| Elimu ikiendelea kwa waheshimiwa wabunge |
Subscribe to:
Comments (Atom)