| Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Emanuel Humba akitoa maelezo ya utangulizi kwa waheshimiwa wabunge |
| Wakisikiliza kwa makini namna utunzaji wa kumbukumbu unavyofanywa |
| Waziri, Naibu Waziri na Mkurugenzi Mkuu NHIF wakifurahia jambo baada ya mkutano |
| Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NHIF, Deogratius Ntunkamazina akitoa salam za bodi |
| Naibu Waziri TAMISEMI, Kassim Majaliwa akitoa salam za Wizara katika mafunzo hayo |
| Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dr Seif Rashid akitoa neno kwa washiriki wa mafunzo. |
No comments:
Post a Comment