Saturday, October 22, 2011

Mtoto Hoseah akiwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kasulu kwa matibabu, Hoseah ameunguzwa moto kimaajab hivyo anahitaji msaada wa hali na mali.
Add caption
Mbunge wa Jimbo la Segerea Dk. Makongoro Mahanga akipongezana na wanafunzi wa shule ya msingi Kisukuru muda mfupi baada ya kuwakabidhi madawati.

Elimu kwa umma kuhusu Mfuko wa Afya wa Jamii (CHF)

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dk. Shukuru Kawambwa akizindua gari la matangazo litakalotumika kutoa elimu kwa vielelezo katika ngazi za vijiji, kata na tarafa, kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Emanuel Humba.