Wednesday, July 18, 2012

Wabunge walivyopata mafunzo NHIF

Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Emanuel Humba akitoa maelezo ya utangulizi kwa waheshimiwa wabunge

Wakisikiliza kwa makini namna utunzaji wa kumbukumbu unavyofanywa

Waziri, Naibu Waziri na Mkurugenzi Mkuu NHIF wakifurahia jambo baada ya mkutano

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NHIF, Deogratius Ntunkamazina akitoa salam za bodi

Naibu Waziri TAMISEMI, Kassim Majaliwa akitoa salam za Wizara katika mafunzo hayo

Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dr Seif Rashid akitoa neno kwa washiriki wa mafunzo.

Meneja wa NHIF Kanda ya Kati, Daud Bunyinyiga akijitambulisha kwa waheshimiwa wabunge

Waheshimiwa wabunge na baadhi ya maofisa wa NHIF wakifuatilia mada mbalimbali

Mheshimiwa Martha Mlata akitoa neno la shukurani baada ya mafunzo

Waheshimiwa wabunge wakipewa maelezo ya namna ya utunzaji wa kumbukumbu za wanachama katika kituo cha kisasa cha kuhifadhia.

Elimu ikiendelea kwa waheshimiwa wabunge


Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dr Hussein Mwinyi na Naibu wake Dr Seif Rashid wakiongozana na Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Emanuel Humba muda mfupi baada ya kumalizika kwa mafunzo ya waheshimiwa wabunge.